Ezekiel 1:1

Viumbe Hai Na Utukufu Wa Bwana

1 aKatika mwaka wa thelathini, mwezi wa nne, siku ya tano ya mwezi, wakati nilipokuwa miongoni mwa hao waliokuwa uhamishoni kando ya Mto Kebari, mbingu zilifunguka nami nikaona maono ya Mungu.

Copyright information for SwhNEN